Na Brian Nzomo. Machozi yakapukutika bila amri au tamanio langu. Sikutaka kuyafuta. Yatiririke tu! Kuna mengi yamtafishayo binadamu. Huzuni, penzi lililotawanyika, usaliti, ugomvi, uchungu na kutowajibika ipasavyo. Ila, ipo hali imwekayo kabisa katika lindi la taabu kama njaa?Njaa, si ya chochote kingine bali ile ya tumbo ihitajiayo chakula.Nilipokuwa katika mwaka wangu wa pili katika chuoContinue reading “UPWEKE WA TAABU.”